Wednesday, June 15, 2011

LEO ni siku ya kupatwa kwa MWEZI

kwa wale waliozaliwa mbele baada ya mwaka 2000,leo ni siku watakayoandika historia mpya katika maisha yao,kupatwa kwa mwezi "moja kwa mojamoja-total lunal eclipse" kati ya matukio ya kushangaza na adimu litatukia usiku wa leo! Mwezi utaenda kati ya jua na dunia kwa takribani dakika 120!kwa kawaida tukio hili huchukua takribani dakika ishirini
 dunia itashuhudia tena kupatwa kwa mwezi kwa moja kwa moja yaani "total lunal eclipse" desemba mwaka huu

No comments:

Post a Comment